Nahitaji Mawakala wa mauzo Daresalaam

Nahitaji Mawakala wa mauzo Daresalaam

Petechory

Member
Joined
Nov 5, 2019
Posts
27
Reaction score
20
Hello wakuu,.
Nahitaji maafisa mauzo (Mawakala wa mauzo) kwenye bidhaa ya mikopo kwa dhamana ya gari,.
Awe ni mchangamfu na mwenye uzoefu kwenye mauzo na kukutana na wateja wapya. Awe anaekaa mkoa wa Dar es salaam.

Kwa mawasiliano anaweza tuma CV au kupiga simu 0757962335
 
Weka mshahara, yan mnapenda kutafuta watumwa na jua hili la dar hamuoni haya kuwatembeza watoto wa wenzenu kwa miguu kilometers 25

Weka mshahara wazi achen uswahil
 
Back
Top Bottom