Nahitaji matanki ya maji ya kukodisha

Nahitaji matanki ya maji ya kukodisha

lnox menel

Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
48
Reaction score
26
Kama kichwa cha habari kinavyosema kama unatanki limekaa alifanyi kazi naitaji matanki kwanzia 2000lita mpaka 10000lita ni kwajili yakuifadhi maji.

Na vizuri uwe Morogoro mjini kuhusu gharama na malipo ni kwa mwezi au miezi miwili miwili uje na bei yako. Kwa mawasiliano 0621 507 835

Nipigie au nitumie SMS au nitafute WhatsApp na hili.
 
Back
Top Bottom