Nahitaji mashine ya kutotolesha vifaranga (incubator)

Nahitaji mashine ya kutotolesha vifaranga (incubator)

Kajole

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2011
Posts
1,668
Reaction score
1,660
Habari wakuu?. Poleni kwa kuwa off-air kwa hizi wiki 3, kiukweli maisha yalikuwa magum bila JF.

Ok shida yangu ni kuuliza wapi nitapata mashine ya kutotoresha vifaranga yaan 'incubator'. Nahitaji ya kununua na iwe:
1.ndogo tu ya Mayai kati ya 50 mpaka 100
2. Ya umeme
3. Manual
Pia kama ipo ya sifa tofauti na hizo tunaweza zungumza na ninachojari ni ufanisi tu wa hiyo mashine hata kama ni used or new.
Napatikana Mbeya mjini.
 
Sawa mkuu ngoja waje watakupa majibu yaliyo sahihi
 
Hawa nimewaona 7/7 wasiliana nao
20180703_220516.jpg
20180703_220531.jpg
 
cheki facebook ''incubator tanzania'' wana mpaka za kutumia gesi ya kupikia majumbani na solar
 
Habari wakuu?. Poleni kwa kuwa off-air kwa hizi wiki 3, kiukweli maisha yalikuwa magum bila JF.

Ok shida yangu ni kuuliza wapi nitapata mashine ya kutotoresha vifaranga yaan 'incubator'. Nahitaji ya kununua na iwe:
1.ndogo tu ya Mayai kati ya 50 mpaka 100
2. Ya umeme
3. Manual
Pia kama ipo ya sifa tofauti na hizo tunaweza zungumza na ninachojari ni ufanisi tu wa hiyo mashine hata kama ni used or new.
Napatikana Mbeya mjini.

bado hauja pata mkuu tukusaidie
 
Ni pm kuna jamaa anaziuza kimara nitakupa namba bei ndogo kuanzia elf 180 ya mayai 30
 
mtafute huyu jamaa 0753767211 yupo kabwe atakusaidia japo wao huuza za kuanzia mayai 300
 
mtafute huyu jamaa 0753767211 yupo kabwe atakusaidia japo wao huuza za kuanzia mayai 300
Jamaa hapatikan hewan toka jana!.

Dah hii bidhaa ni adimu kiasi hiki kumbe?. Nilifika sido nao majibu mara hivi mara vile ilimradi tu kukukosesha bidhaa
 
Back
Top Bottom