Wakuu,
Msaada unatakiwa hapa nimechimba kisima, lakini maji hayafai kwa matumizi yoyote sababu yana chumvi sana. Sasa nime google Mashine ya kutoa chumvi nikaona zinapatikana nje ya nchi.
Je, kuna mwenye kujua kama zinapatikana hapa Dar? Anijuze tafadhali
Shukrani mbele
Msaada unatakiwa hapa nimechimba kisima, lakini maji hayafai kwa matumizi yoyote sababu yana chumvi sana. Sasa nime google Mashine ya kutoa chumvi nikaona zinapatikana nje ya nchi.
Je, kuna mwenye kujua kama zinapatikana hapa Dar? Anijuze tafadhali
Shukrani mbele