Nahitaji Mashine ya kushona viroba

Nahitaji Mashine ya kushona viroba

karv

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2019
Posts
1,800
Reaction score
3,268
Habari wana JF

Naulizia bei ya mashine ya kushonea viroba vya unga na pia naweza kupata wapi viroba vya unga kwa bei ya jumla na unachukua kuanzia vingapi

Ningependa kujua kuhusu kuprint viroba hivyo na bei yake

Natanguliza shukurani zangu kwenu
 
mkuu zinapatikana posta pale karibia na mnara wa saa kwa pembeni kunaduka linauza chereheni nyingi na upande wa kuprint nenda bakresa pale wana huduma hiyo.
naomba fulsa kiwandani kwako ya kushona na kupima na kupanga mzigo hapo kiwandani mkuu.
 
Mkuu nina viroba vya gypsum vipatavyo 300 nipo tanga mjini tuongee biashara if you're interested vilikuwa ni kampuni ya Good one
 
Back
Top Bottom