Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 377
Wakuu,
Naweza kufahamu hiyo mashine ya kuchonga tooth pick naipataje ikiwa ipo nipeni njia wakuu.
Naweza kufahamu hiyo mashine ya kuchonga tooth pick naipataje ikiwa ipo nipeni njia wakuu.
Wakuu naweza kufahamu hiyo mashine ya kuchonga tooth pick naipataje ikiwa ipo nipeni njia wakuu
Iko wapi hiyo ya mianzi kaka ua dola 3elfu kwa hapa tzHii kitu nimefanyia research ya kutosha kiasi, mashine zipo za aina tofauti kuanzia dollar elf tatu mia tano kutokana na uhitaji wako.
Kuna ndugu kasema mabanzi kutoka iringa ni raw materials sawa ila mtu wa kutumia mabanzi ni yule aliye ktk level za juu sana, fanya tafiti.
But ipo mashine inatumia bamboo stick (mianzi) ambayo ni rahisi zaidi na inamfaa muwekezaji mdogo... Good take
China aisee mpaka uvushe bandarini gharama itakuwa kubwa Sana mkuuUkiagika kutoka china, pia afrika hapa hiyo technology wanayo waghana
Ok Mkuu, nipe namna ya kumpata mhusika wa kuniagiziaSasa mkuu, unataka kiwanda kidogo uwekeze kiasi gani... Maana hapo kama milion 15iv mzigo umeupata
Hzo mashine zinaitwaje ili hata kutafuta taarifa isaidie na iwe nyepesi.Mashine zipo Turnkey Project.study.machine installation and training ni dola 120.000 interested PM for more information.
Wewe unalipa na kutupa eneo la ufungaji machine.raw material ni mabanzi ya mbao toka Iringa
Toothpick making machineHzo mashine zinaitwaje ili hata kutafuta taarifa isaidie na iwe nyepesi.
Hii kitu nimefanyia research ya kutosha kiasi, mashine zipo za aina tofauti kuanzia dollar elf tatu mia tano kutokana na uhitaji wako.
Kuna ndugu kasema mabanzi kutoka iringa ni raw materials sawa ila mtu wa kutumia mabanzi ni yule aliye ktk level za juu sana, fanya tafiti.
But ipo mashine inatumia bamboo stick (mianzi) ambayo ni rahisi zaidi na inamfaa muwekezaji mdogo... Good take