Nahitaji mashine ya kuchakata Alizeti

Nahitaji mashine ya kuchakata Alizeti

primaquin

Senior Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
161
Reaction score
94
Wakuu habari!
Naomba mwenye ujuzi wa machine ya kuchakata alizeti anaisaidie kupata taarifa kuhusu
1. Bei ya mashine na Wapi naweza pata
2.ufungaji wake
3.gharama za uendeshaji
Asanteni!
 
Mi nimefunga mwaka jana na inapiga kazi vizuri sana
 
Wakuu naomba mwenye uzoefu na hii filter naomba anijulishe,
1. Ubora wake kwenye kuchuja mafuta ya alizeti
2. Changamoto zake
3 bei yake ikiwa mpya dukani yenyewe uwezo wa 100 litres kwa saa.
IMG-20171117-WA0009.jpg
 
Back
Top Bottom