FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
Pole sana kwa kuondokewa na babu yako. Unahitaji maombi ya nini na wewe ni mzima wa afya?
Babu siku yake imefika na baba mdogo siku yake ikifika na yeye atakwenda kwenye uzima wa milele.
Na Wakristo wote wameshabebewa dhambi zao na Yesu.
Kila siku mnatufundisha humu JF kuwa akifa mtu ina maana Mungu kamepnda sana, sasa unataka tuwaombee Mungu asiwapende? sielewi.
Pole sana kwa kuondokewa na babu yako. Unahitaji maombi ya nini na wewe ni mzima wa afya?
Babu siku yake imefika na baba mdogo siku yake ikifika na yeye atakwenda kwenye uzima wa milele.
Na Wakristo wote wameshabebewa dhambi zao na Yesu.
Kila siku mnatufundisha humu JF kuwa akifa mtu ina maana Mungu kamepnda sana, sasa unataka tuwaombee Mungu asiwapende? sielewi.