Nahitaji Maharage ya njano

Nahitaji Maharage ya njano

budot

Member
Joined
Nov 28, 2011
Posts
40
Reaction score
16
Nahitaji maharage ya njano gololi(Soya njano) kwa wingi,nipo Arusha
Mwenye nayo naomba anipe bei yake kwa gunia.
Nitahitaji na picha.
Whatsapp no.0719033180
FB_IMG_1531332862110.jpg
 
Kama upo Arusha nenda soko la Mbauda,bei ya hapo sokoni uondoe gharama ya usafishaji toka vijijini, ndio utapata bei ya Kijijini, Mfano Mbauda kilo ni sh.1800 basi unatoa 100 ya usafirishaji, hivyo gunia la kilo 100 inakuwa sh. 170,000 Kijijini,
Fanya utafiti usiende kichwakichwa.
Na wakulima siku hizi wanauliza soko kabla ya kuuza.
 
Kama upo Arusha nenda soko la Mbauda,bei ya hapo sokoni uondoe gharama ya usafishaji toka vijijini, ndio utapata bei ya Kijijini, Mfano Mbauda kilo ni sh.1800 basi unatoa 100 ya usafirishaji, hivyo gunia la kilo 100 inakuwa sh. 170,000 Kijijini,
Fanya utafiti usiende kichwakichwa.
Na wakulima siku hizi wanauliza soko kabla ya kuuza.
Nashukuru mkuu,nimetoka naberera wao wanauza 110000 kwa gunia ila ni machache,mbauda pia mi nauza pale
 
Nashukuru mkuu,nimetoka naberera wao wanauza 110000 kwa gunia ila ni machache,mbauda pia mi nauza pale
Kwa mwaka huu inawezekana kuwa machache kwani maharage yalishambuliwa na maradhi ya kutu na kuoza kutokana na mvua kuzidi, ila Marnie y'a Rotia na Mbulumbulu wilayani Karatu yananapatikana ila kwa bei hiyo hawatauza.
IMG_20180716_104455.jpg
 
Kwa mwaka huu inawezekana kuwa machache kwani maharage yalishambuliwa na maradhi ya kutu na kuoza kutokana na mvua kuzidi, ila Marnie y'a Rotia na Mbulumbulu wilayani Karatu yananapatikana ila kwa bei hiyo hawatauza.View attachment 810613
Nashukuru mkuu wacha nifuatilie mbulu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom