Nahitaji mafuta ya nazi

Mavindozii

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
2,110
Reaction score
2,787
Wakuu wa Nchi natafuta mafuta ya nazi ya kula .Nimeangaika hapa Arusha mjini hiyo kitu hawajui ,yapo tuu ya kupaka ya watoto .kama unajua mahali yanapatikana please let's me know.
 
Yanauzwa Shoppers supermarket yanaitwa Kente kama shoppers haipo Arusha unaweza kumuagiza mtu akununulie....
Mimi pia nauza mafuta ya nazi lakini ni ya kupakaa lakini soon nitakuwa na ya kula pia
 
Yanauzwa Shoppers supermarket yanaitwa Kente kama shoppers haipo Arusha unaweza kumuagiza mtu akununulie....
Mimi pia nauza mafuta ya nazi lakini ni ya kupakaa lakini soon nitakuwa na ya kula pia

Mkuu embu tutoe tongo tongo hayo ya kula yanatoka na nazi hizi hizi mbovu kama yale ya kupaka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…