uko mkoa ganiKwa yoyoteanaejua wapi naweza kupata yale magazeti ya kiarabu au yale meupe ambayo hayana maandishi naomba anijulishe..
Nayahitaji kwa wingi sana,huwa yanafungwa kwa kilo 15-20 kwa kila bando moja




Kwanini usi import kutoka huko uarabuni kwa sasa magazeti ni dili sanaNahitaji hata bando 500
Inamana hilo bucha litakua linauza kiasi gani hadi ni nunue magazeti yote hayo