ni nayo ya voda nauza bei ndogo tu sababu ya kuuzi nililetewa nyingine wakati ya mwanzo nilishapata anayehitaji ani pm au anipatie namba yake nimpe tuwasiliane
ni nayo ya voda nauza bei ndogo tu sababu ya kuuzi nililetewa nyingine wakati ya mwanzo nilishapata anayehitaji ani pm au anipatie namba yake nimpe tuwasiliane
shs ngapi mkuu.?
nimeisha kupm angalia