Mbuty
JF-Expert Member
- Sep 16, 2011
- 421
- 254
Habari wapendwa, nimefungua ofisi ya uwakala ila ninauhitaji wa line ya tigo pesa, kwa mwenye nayo au anayeweza kunisaidia jinsi ya kuipata pls nitashukuru hivyo inbox me kwa kunipa jinsi au offer yako. Asanteni.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums