Nahitaji limbwata nimuwekee mke wangu

Nahitaji limbwata nimuwekee mke wangu

Kwa anayejua Limbwata bora naomba anisaidie tafadhali nahitaj kumuwekea mke wangu anipende mimi tu.
Sitaki kusikia limbwata la mwanaume kwa mwanamke ni hela!! nataka kali kuliko hela kama lipo.
Uwe unampikia kitalolo ....

Atakupenda daima..
 
Dodoma anahamia lini maaana tumechoka na foleni Bongo haswa leo
 
Mjomba kila mechi piga kama vile fainali ya World Cup au UCL usiache gap usilete ubishoo kwenye game utafeli.
 
Mkuu mbona umeongea kwa hisia kali sana? Yamekukuta nini?
Acha tu mkuu wangu, tena uache hvohvo......hapa tunapoongea ndugu yangu mmoja anauguza uchizi sababu ya mwanamke, kamsomesha mwenyewe toka kuhitimu shule ya upili mpaka kupata shahada ya kwanza, alipoajiriwa serikalini tu mwanamke kajanjaruka kama mbayuwayu anataka waachane....jamaa akang'amua lengo la mwanamke ni kupata mali kagoma kutoa talaka bila sababu ya msingi, haujapita muda kageuka chizi kabsaa.....kama siyo sisi nduguze kumsimamia kidete angekuwa anaokota makopo, alipopona akaenda kuowa tena mkoa fulani, nako akaenda kuliokota balaa, mwanamke ni mwajiriwa wa serikali lakini anataka kuwa expert wa biashara na anataka asimamie yeye investments zote na hataki ndugu wa jamaa kutia mguu hata kuwatembelea...........Nasisitiza, kama haujaowa we tia mimba tu uzae watoto wawili lakini msiishi pamoja wala msifanye commitment za mahusiano ya kudumu, tena mikoa au nchi tofauti!
 
Acha tu mkuu wangu, tena uache hvohvo......hapa tunapoongea ndugu yangu mmoja anauguza uchizi sababu ya mwanamke, kamsomesha mwenyewe toka kuhitimu shule ya upili mpaka kupata shahada ya kwanza, alipoajiriwa serikalini tu mwanamke kajanjaruka kama mbayuwayu anataka waachane....jamaa akang'amua lengo la mwanamke ni kupata mali kagoma kutoa talaka bila sababu ya msingi, haujapita muda kageuka chizi kabsaa.....kama siyo sisi nduguze kumsimamia kidete angekuwa anaokota makopo, alipopona akaenda kuowa tena mkoa fulani, nako akaenda kuliokota balaa, mwanamke ni mwajiriwa wa serikali lakini anataka kuwa expert wa biashara na anataka asimamie yeye investments zote na hataki ndugu wa jamaa kutia mguu hata kuwatembelea...........Nasisitiza, kama haujaowa we tia mimba tu uzae watoto wawili lakini msiishi pamoja wala msifanye commitment za mahusiano ya kudumu, tena mikoa au nchi tofauti!
Pole mkuu..
 
chukua manii zako kaanga na chumvi huku ukiwa unaongea maneno, chukua mizizi ya mmea unaitwa ndago kaanga halafu changanya na manii uliyokaanga mwekee kwenye mafuta anayopaka na kiasi kidogo chanjia kwenye dushe, na kidogo mtilie kwenye mboga anayoipenda ila usiwe mlenda.
Wenga ugana kumkoma muyako....udesi wenuwuu
 
chukua manii zako kaanga na chumvi huku ukiwa unaongea maneno, chukua mizizi ya mmea unaitwa ndago kaanga halafu changanya na manii uliyokaanga mwekee kwenye mafuta anayopaka na kiasi kidogo chanjia kwenye dushe, na kidogo mtilie kwenye mboga anayoipenda ila usiwe mlenda.

Hivi unajua kuna watu watafuatiliza kuifanya hii Dawa??
 
Kwa anayejua Limbwata bora naomba anisaidie tafadhali nahitaj kumuwekea mke wangu anipende mimi tu.
Sitaki kusikia limbwata la mwanaume kwa mwanamke ni hela!! nataka kali kuliko hela kama lipo.
Mcheki member anaitwa Rais2020
 
Kwa anayejua Limbwata bora naomba anisaidie tafadhali nahitaj kumuwekea mke wangu anipende mimi tu.
Sitaki kusikia limbwata la mwanaume kwa mwanamke ni hela!! nataka kali kuliko hela kama lipo.
Mpende tu na umuheshimu!
Mapenzi ni give and take!
kama ulifanya choice iliyosahihi, then kilichobaki ni kuonesha upendo na heshima kwa mkeo, lazima utapata matokeo chanya!
Unajua binadamu anaweza akaishi na nyani, nyoka na mdudu mwingine yeyote, endapo atamuonesha anampenda na kumjali, sidhani kama mkeo atakushinda ukifanya hivyo!
wapo ambao kweli hawakuhitaji ila circumstances zimewafanya wakaishia katika mikono ya wanaume Fulani ambao hawakuwa wao, hiyo ni bahati mbaya tu kama kuishi na kunguru, atatoroka tu!
 
Kwa anayejua Limbwata bora naomba anisaidie tafadhali nahitaj kumuwekea mke wangu anipende mimi tu.
Sitaki kusikia limbwata la mwanaume kwa mwanamke ni hela!! nataka kali kuliko hela kama lipo.
Chukua ini lilaze sehemu ya haja kubwa mpaka asubuhi kisha mpikie rost asubuhi
 
Kuna ile nyama ya kutumbukiza huku hivi afu unampa, kama una pa kutumbukiza iweke....
 
Kwa anayejua Limbwata bora naomba anisaidie tafadhali nahitaj kumuwekea mke wangu anipende mimi tu.
Sitaki kusikia limbwata la mwanaume kwa mwanamke ni hela!! nataka kali kuliko hela kama lipo.
Muonyeshe kua wewe ni wake peke yake,mfanye ajisikie Malikia hata kama hana hela,kauli yako ndio silaha matendo yako ndio libwata huhitaji chochote zaidi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom