Nahitaji limbwata nimuwekee mke wangu

Nahitaji limbwata nimuwekee mke wangu

Kitalolo.

Senior Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
189
Reaction score
221
Kwa anayejua Limbwata bora naomba anisaidie tafadhali nahitaj kumuwekea mke wangu anipende mimi tu.
Sitaki kusikia limbwata la mwanaume kwa mwanamke ni hela!! nataka kali kuliko hela kama lipo.
 
chukua manii zako kaanga na chumvi huku ukiwa unaongea maneno, chukua mizizi ya mmea unaitwa ndago kaanga halafu changanya na manii uliyokaanga mwekee kwenye mafuta anayopaka na kiasi kidogo chanjia kwenye dushe, na kidogo mtilie kwenye mboga anayoipenda ila usiwe mlenda.
 
chukua manii zako kaanga na chumvi huku ukiwa unaongea maneno, chukua mizizi ya mmea unaitwa ndago kaanga halafu changanya na manii uliyokaanga mwekee kwenye mafuta anayopaka na kiasi kidogo chanjia kwenye dushe, na kidogo mtilie kwenye mboga anayoipenda ila usiwe mlenda.
Ndago ndo mmea gani Mkuu
 
Limbwata pekee na hela tu na ujue kumkuna kitandani, ukiwa navyo hivyo viwili atakuwa wako kufa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom