Nahitaji laini za Airtel Money, M-Pesa na Tigopesa

Nahitaji laini za Airtel Money, M-Pesa na Tigopesa

Mwana wa Nuru

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2012
Posts
590
Reaction score
415
Tafadhali naomba msaada wa kupata laini za airtel money, mpesa na tigopesa kwa aliyenazo au anayejua pale pa kuzipata. nipo dar.Asante.
 
M pesa laki mbili... tigo pesa laki sita!!!! Kama huko poa ni pm namba yaki
 
Tafadhali naomba msaada wa kupata laini za airtel money, mpesa na tigopesa kwa aliyenazo au anayejua pale pa kuzipata. nipo dar.Asante.

Nauza line zote za Airtel money! M pesa na Tigo! Gharama ni 1.5mil zote! Kama utahtaj call; 0714021078 au mail me jumbenylon@gmail.com
 
Ni tafute boss via this no ntakwambia wapi pa kuzipata fasta.0655310320
 
Ni upuuzi tu huo,zama za ulanguzi zimeisha. Ni muhimu hayo makampuni yakaweka wazi kama hawatoi laini za mpesa,tigopesa nk
 
ungekuwa arusha ningekupa airtel money kwa 70,000 na m pesa kwa 160,000
 
Mpesa yangu njoo na 150k nakupa line zote mbili mkuuuu ya kaz na management,, npo dsm nchek PM
 
Back
Top Bottom