Nahitaji kuwa wakala wa Vinywaji vya Azam

Nahitaji kuwa wakala wa Vinywaji vya Azam

mandazy

Member
Joined
Feb 28, 2015
Posts
46
Reaction score
16
Wadau nilikuwa naomba mwenye ufahamu wa namna gani ya kupata uwakala wa vinywaji vya Azam.

Utaratibu na hatua za kufata mana mimi nipo mkoa nataka nianze hiyo biashara na kuwasambazia wafanyabiashara wadogowadogo na wenye maduka.
 
Kwani kuwa wakala wao hawana sifa na vigezo ambavyo vipo openly?yani labda mtaji kiasi fulani,eneo ambalo lina muingiliano(busy)...sitaki kuamini kama kweli imani ndio msingi labda kama wanatoa product zao bure kama sadaka,ila nashauri tusiwe wepesi kuyaongelea tusiyoyajua..sababu mm ni mtazamaji mzuri wa taarifa za habari za azam (utv)na mara nyingi nawaona wale wasoma taarifa ni wa imani tofauti ...

Labda tafuta mawasiliano yao hata kule kwenye matangazo ya tv zao huwa kuna namba wanawekaga hao watu wa masoko wapigie naamini watakuelekeza cha kufanya..kila la kheri mkuu
 
Wadau nilikuwa naomba mwenye ufahamu wa namna gani ya kupata uwakala wa vinywaji vya Azam.

Utaratibu na hatua za kufata mana mimi nipo mkoa nataka nianze hiyo biashara na kuwasambazia wafanyabiashara wadogowadogo na wenye maduka.
Una usafiri
 
Kwanza hakikisha unafuga mzuzu au uwe unavaa vile visuruali vifupi hapo connection utapata fasta tu.

Naongea kama mlevi fulani hivi lakini ndio imeisha hivyo.
[emoji23][emoji23]
 
Nadhani anzia kwenye depot zao... au wale wasambazaji wao wanakupa info zote...



Cc: mahondaw
 
Simple sana.

Njoo ofsin kwao mtafanya mahojiano watakuuliza baadhi ya maswali kama mkoa/eneo unalofanyia kazi, kiwango cha mtaji, vibali husika ( lesseni au Tin) , aina ya bidhaa unayohitaji uwakala, uzoefu na watakufatilia kujiridhisha kisha watakupangia bidhaa watakazokupa uwakala (Azam wana bidhaa nyingi) kisha mtaingia mkataba.

Usipoteze muda kuwauliza watu wasio husika watakukatisha tamaa. Fika ofsin kutana na meneja masoko.

Sasa hivi biashara ni ngumu ko kila kampuni wanatafuta branches ili kuongeza mzunguko ko ujio wako hata wao wananufaika. Chamsingi uwe sirious na sio mipango ya kwenye daftari tu na kutusumbua kumbe ndo kwanza unasubiri baba afe mgawane mirathi ndo upate mtaji.
 
Thanks kwa ushauri huo
Simple sana.

Njoo ofsin kwao mtafanya mahojiano watakuuliza baadhi ya maswali kama mkoa/eneo unalofanyia kazi, kiwango cha mtaji, vibali husika ( lesseni au Tin) , aina ya bidhaa unayohitaji uwakala, uzoefu na watakufatilia kujiridhisha kisha watakupangia bidhaa watakazokupa uwakala (Azam wana bidhaa nyingi) kisha mtaingia mkataba.

Usipoteze muda kuwauliza watu wasio husika watakukatisha tamaa. Fika ofsin kutana na meneja masoko.

Sasa hivi biashara ni ngumu ko kila kampuni wanatafuta branches ili kuongeza mzunguko ko ujio wako hata wao wananufaika. Chamsingi uwe sirious na sio mipango ya kwenye daftari tu na kutusumbua kumbe ndo kwanza unasubiri baba afe mgawane mirathi ndo upate mtaji.
 
Kwani kuwa wakala wao hawana sifa na vigezo ambavyo vipo openly?yani labda mtaji kiasi fulani,eneo ambalo lina muingiliano(busy)...sitaki kuamini kama kweli imani ndio msingi labda kama wanatoa product zao bure kama sadaka,ila nashauri tusiwe wepesi kuyaongelea tusiyoyajua..sababu mm ni mtazamaji mzuri wa taarifa za habari za azam (utv)na mara nyingi nawaona wale wasoma taarifa ni wa imani tofauti ...

Labda tafuta mawasiliano yao hata kule kwenye matangazo ya tv zao huwa kuna namba wanawekaga hao watu wa masoko wapigie naamini watakuelekeza cha kufanya..kila la kheri mkuu
Nimependa sana comment yako. Big up sana mkuu
 
Kikubwa fika ofisini jua vigezo. Huku mtaani maneno meengi ,uhalisia sifuri. By the way Azam siyo shirika la umma
 
Back
Top Bottom