Nahitaji kutuma mzigo mkoani

Nahitaji kutuma mzigo mkoani

Flamegood

Senior Member
Joined
Oct 27, 2018
Posts
129
Reaction score
293
Habari wana JF,

Mimi kuna ndugu yangu wa mkoani ameniomba nimnunulie bidhaa fulani huku Dar kwa kuwa huku inapatikana kwa bei rahisi kiasi 60,000. Sasa nilikuwa nahitaji mniambie ni bus gani nikituma huu mzigo utafika salama na kwa uhakika zaidi na kwa bei rafiki maana nilishatumaga mzigo ukapotea.

Natuma kutoka Dar kwenda Arusha
 
Kama mdogo tumia basi, elf 20 hadi 30 kama unakaa nje ya bahasha. Kama ni friji na vitu kama hivyo, nenda jangwani au kidogo chekundu.
 
Nenda Ofisi za Kilimanjaro au Dar Express, au Marangu au Kidia One au BM.

Wote hawa ni uhakika na wanapatikana Shekilango..
 
Habari wana JF,

Mimi kuna ndugu yangu wa mkoani ameniomba nimnunulie bidhaa fulani huku Dar kwa kuwa huku inapatikana kwa bei rahisi kiasi 60,000. Sasa nilikuwa nahitaji mniambie ni bus gani nikituma huu mzigo utafika salama na kwa uhakika zaidi na kwa bei rafiki maana nilishatumaga mzigo ukapotea.

Natuma kutoka Dar kwenda Arusha
Nenda EMS pale posta huweza kupoteza tena mzigo rafiki
 
Habari wana JF,

Mimi kuna ndugu yangu wa mkoani ameniomba nimnunulie bidhaa fulani huku Dar kwa kuwa huku inapatikana kwa bei rahisi kiasi 60,000. Sasa nilikuwa nahitaji mniambie ni bus gani nikituma huu mzigo utafika salama na kwa uhakika zaidi na kwa bei rafiki maana nilishatumaga mzigo ukapotea.

Natuma kutoka Dar kwenda Arusha
bwashe unatuma nini??
 
Back
Top Bottom