Flamegood
Senior Member
- Oct 27, 2018
- 129
- 293
Habari wana JF,
Mimi kuna ndugu yangu wa mkoani ameniomba nimnunulie bidhaa fulani huku Dar kwa kuwa huku inapatikana kwa bei rahisi kiasi 60,000. Sasa nilikuwa nahitaji mniambie ni bus gani nikituma huu mzigo utafika salama na kwa uhakika zaidi na kwa bei rafiki maana nilishatumaga mzigo ukapotea.
Natuma kutoka Dar kwenda Arusha
Mimi kuna ndugu yangu wa mkoani ameniomba nimnunulie bidhaa fulani huku Dar kwa kuwa huku inapatikana kwa bei rahisi kiasi 60,000. Sasa nilikuwa nahitaji mniambie ni bus gani nikituma huu mzigo utafika salama na kwa uhakika zaidi na kwa bei rafiki maana nilishatumaga mzigo ukapotea.
Natuma kutoka Dar kwenda Arusha