Na kama mtu amemaliza form six miaka minane iliyopita na hakuendelea alikuwa na division 4 kwenye mchepuo wa HKL anaweza kusaidiwa vipi kwenye kujiendeleza?Na inawezekana?Ana Principal 1,Fail 2 na Subsidiary 1.
Na kama mtu amemaliza form six miaka minane iliyopita na hakuendelea alikuwa na division 4 kwenye mchepuo wa HKL anaweza kusaidiwa vipi kwenye kujiendeleza?Na inawezekana?Ana Principal 1,Fail 2 na Subsidiary 1.
Na kama mtu amemaliza form six miaka minane iliyopita na hakuendelea alikuwa na division 4 kwenye mchepuo wa HKL anaweza kusaidiwa vipi kwenye kujiendeleza?Na inawezekana?Ana Principal 1,Fail 2 na Subsidiary 1.
sema kweli kwa iyo kombi ingekuwa vizuri kama wa kike ajalibu ata teaching kiasi fulani abase na hilo somo hasa aliofauru akikaza na kuweka msuri atatoka anaweza kwenda degree baadae kuchukua kozi nyingine ila pia kama mpenzi wa biashara vipo vyuo wanaweza mchukua mfano cbe nadhani anaweza pata nafasi ata hapo cha msingi licha ya ayo matokeo aangalie ana interest na nini ndicho achukue natumai atafurahia kusoma