Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WanakubaliWanajf naweza pata diploma kwa criteria hizi?
1. Four ya 27
2.Cheti cha ualimu Grade A
Naomba kuwasilisha
Na kama mtu amemaliza form six miaka minane iliyopita na hakuendelea alikuwa na division 4 kwenye mchepuo wa HKL anaweza kusaidiwa vipi kwenye kujiendeleza?Na inawezekana?Ana Principal 1,Fail 2 na Subsidiary 1.kama una certificate ya ya iyo kozi basi kupata diploma unaweza kupata
diploma utasoma vizuri mno inategemeana unataka kusoma nnNa kama mtu amemaliza form six miaka minane iliyopita na hakuendelea alikuwa na division 4 kwenye mchepuo wa HKL anaweza kusaidiwa vipi kwenye kujiendeleza?Na inawezekana?Ana Principal 1,Fail 2 na Subsidiary 1.
Thnx mkuudiploma utasoma vizuri mno inategemeana unataka kusoma nn
diploma atasoma ndugu ata usiofu aijalishi alikuwa nyumbani mda gani fanya mchakato a applyNa kama mtu amemaliza form six miaka minane iliyopita na hakuendelea alikuwa na division 4 kwenye mchepuo wa HKL anaweza kusaidiwa vipi kwenye kujiendeleza?Na inawezekana?Ana Principal 1,Fail 2 na Subsidiary 1.
Nashukuru mkuu kwa muda wako.Na kwa pass marks hizo anaweza akachukua kozi ipi na chuo kipi kinamfaa.Samahani kwa maswali mengi.diploma atasoma ndugu ata usiofu aijalishi alikuwa nyumbani mda gani fanya mchakato a apply
sema kweli kwa iyo kombi ingekuwa vizuri kama wa kike ajalibu ata teaching kiasi fulani abase na hilo somo hasa aliofauru akikaza na kuweka msuri atatoka anaweza kwenda degree baadae kuchukua kozi nyingine ila pia kama mpenzi wa biashara vipo vyuo wanaweza mchukua mfano cbe nadhani anaweza pata nafasi ata hapo cha msingi licha ya ayo matokeo aangalie ana interest na nini ndicho achukue natumai atafurahia kusomaNashukuru mkuu kwa muda wako.Na kwa pass marks hizo anaweza akachukua kozi ipi na chuo kipi kinamfaa.Samahani kwa maswali mengi.