Nahitaji kurent apartment kwa siku moja

Nahitaji kurent apartment kwa siku moja

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
8,230
Reaction score
8,522
Naitaji kupanga apartment kwa siku moja tu, yenye chumba na sebule na full furniture

Nitakuwa na wagen wangu 15 ambao tutakuwa na meeting kidogo

Chakula na vinywaji vyote tutanunua hapo hapo

Bajeti yangu ni dola $50
Mwenye uwezo wa kunisaidia ani dm
 
Sidhani Kama tangazo lako limekaa sawa au labda sinaelewa.,
Chumba na senile with full furniture na mpo 15 so mkitaka kujipumzisha basi furniture zinahusika???
Naitaji kupanga apartment kwa siku moja tu, yenye chumba na sebule na full furniture

Nitakuwa na wagen wangu 15 ambao tutakuwa na meeting kidogo

Chakula na vinywaji vyote tutanunua hapo hapo

Bajeti yangu ni dola $50
Mwenye uwezo wa kunisaidia ani dm
 
Kwa budget hyo lbda Utapata apartments za kiswazi swazi

Ova
 
Unataka uwapige mande hao wageni wako 15?
Kwanini usiwapeleke uswahili kwako unakoishi?
Au umejitamba kuwa unaishi kwenye apartment yako?
Au ni wakwe zako watarajiwa kwa hiyo unataka wakuone matawi ya juu?
Nakushauri kwa hiyo dola 50 nenda kwenye bar yenye utulivu kiasi wanunulie bia/soda/maji viti unapewa bure na chenji inabaki.!
 
Download app inaitwa 'airbnb'

Utapata unachotafuta
 
Sa mkuu kama anakikao kwanini asikodi ukumbi anakodi apartment kama sio orgy
yaah...halafu anataka chumba cha kazi gani km ni mkutaano si akod ukumbi..afu chumba chenye kitanda...duuh
 
Naitaji kupanga apartment kwa siku moja tu, yenye chumba na sebule na full furniture

Nitakuwa na wagen wangu 15 ambao tutakuwa na meeting kidogo

Chakula na vinywaji vyote tutanunua hapo hapo

Bajeti yangu ni dola $50
Mwenye uwezo wa kunisaidia ani dm
Kuna apartment pale survey kwa sh 70,000 kwa siku Ina vyumba vitatu jiko sitting room full furniture
 
Naitaji kupanga apartment kwa siku moja tu, yenye chumba na sebule na full furniture

Nitakuwa na wagen wangu 15 ambao tutakuwa na meeting kidogo

Chakula na vinywaji vyote tutanunua hapo hapo

Bajeti yangu ni dola $50
Mwenye uwezo wa kunisaidia ani dm
Nenda Lunch time hotel opposite Mabibo hostel... Kuna vyumba vyenye sebule iko fully furnished.
 
Back
Top Bottom