Nahitaji kuongeza mwili (Kunenepa)

Habarini wana JF,

Nini kifanyike ili kuongeza mwili (unene) ili niwe na muonekano mzuri wa kiafya unaovutia?

Nahitaji kunenepa.
Kula nyama wewe acha mboga za ajani, hasa 🐷🐷+🍺🍻



 

Nan kakuambia mimi nina wivu [emoji23]
 
Habarini wana JF,

Nini kifanyike ili kuongeza mwili (unene) ili niwe na muonekano mzuri wa kiafya unaovutia?

Nahitaji kunenepa.
kuna wale wakiambiwa mbona umekonda anakwambia nimenenepa kwa ndani je wewe vip hata kwa ndani hujanenepa
 
Ila kama unataka kuongeza hips,butt na mguu au nyonyo bila minyamanyama uzembe,fanya mazoezi ,ule vizuri and sleep well.

Download app ya pininterest,ina mambo mengi kuanzia mazoezi,skin care,fashion,food ,etc .itakusaidia.

But muhimu,Mind your business.Utapata mwili mzuri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…