Amjadey
Member
- Jun 29, 2011
- 83
- 32
Habari wakuu
Yoyote ambae anauza Pikipiki aina ya Boxer au TVS iliyotumika sio zaidi ya mwaka mmoja. Engine CC150 itapendeza ikikosekanwa ata cc125.
Isiwe imewahi kufanyiwa matengenezo kwenye engine (engine haijaguswa)
Ninahitaji tafadhali DM. Nikutafute
Sent using Jamii Forums mobile app
Yoyote ambae anauza Pikipiki aina ya Boxer au TVS iliyotumika sio zaidi ya mwaka mmoja. Engine CC150 itapendeza ikikosekanwa ata cc125.
Isiwe imewahi kufanyiwa matengenezo kwenye engine (engine haijaguswa)
Ninahitaji tafadhali DM. Nikutafute
Sent using Jamii Forums mobile app