Nahitaji kununua kati ya verossa au noah, please advice

Nahitaji kununua kati ya verossa au noah, please advice

neggirl

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2009
Posts
4,860
Reaction score
2,149
Salaam wapendwa. Naomba ushauri kuhusiana na magari tajwa hapo juu. Bajeti hadi kufika dsm ni $2200.

ushauri ujikite katika uimara, matumizi ya mafuta, upatikanaji wa spare n.k.

Unaweza pia kushauri aina nyingine ya gari with reason. Asanteni
 
Maelezo ya ziada.. mtumiaji ni mwanaume
 
Salaam wapendwa. Naomba ushauri kuhusiana na magari tajwa hapo juu. Bajeti hadi kufika dsm ni $2200.

ushauri ujikite katika uimara, matumizi ya mafuta, upatikanaji wa spare n.k.

Unaweza pia kushauri aina nyingine ya gari with reason. Asanteni

Noah ni gari ya abiria saba,dereva wa nane....je unafamilia kubwa hivyo? au unataka kutumia kwa daladala??
Verossa ni gari ya kawaida kwa familia ya watu mpaka watano....

upatikanaji wa spare zote sawa tu hamna yenye shida ya spare...
uimara ni uendeshaji wako,uki abuse zote sio imara...kwenye uimara wa engine Verossa[beams 2000] ni engine imara kuliko ya Noah...

kwenye matumizi ya mafuta Verossa kidogo iko juu zaidi.....na kama mtumiaji ni mwanaume anunue Verossa
 
RRONDO asante kwa comment yako. Reason ya kutaka noah.. ni kwa sababu ni family car. Ingawa familia yenyewe ni ndogo ..5people
 
Last edited by a moderator:
Vipi kuhusu bajeti hiyo.. + gharama za ushuru hapa tz. Which one is a bit cheaper
 
RRONDO asante kwa comment yako. Reason ya kutaka noah.. ni kwa sababu ni family car. Ingawa familia yenyewe ni ndogo ..5people

kwa familia ya watu watano, ingawa kwenye Verossa watakaa ila ni comfortable zaidi kwenye Noah...ushuru wa Noah sijui ila verossa andaa kama 5milion na ushee hivi
 
Gari ya kuchukua ni noah na chukua zile za zamani zenye injini ya 3s ni imara kuliko beam 2000 ya verosa na upatikanaji wake wa spea ni rahisi, verossa ni nzuri ila iko kistarehe zaidi na ikichoka utaichukia wakati noah ikichoka unaweza ukaifanya daladala ukajiingizia kipato
 
Ila verossa Mazda ni imara kuliko Noah... Ya uongo
 
km ni Bibie chukua Noah
  • itaibeba familia yako na mumeo mpaka wakwe
  • utafanyia shughuli nyingi na za kubeba vifurushi hadi Fruji
  • haina kificho (Tinted) hata wa pembeni watawaona
Hasara ya Verossa (ambayo ni GX110)

  • ni ya kichoyo sanasana ni wewe na mumeo na huenda mumeo akaichepukia kwani imekaa kistarehe na kilevi zadi
  • huwezi ifanya TAXI hasa ulaji wake wa mafuta kwani ni cc 1980 mpaka cc2200
  • nyingi ya hizi gari zimekaa kigizagiza
Nilisikia hizi gari hazitengenezwi tena badala yake waliingia kwenye Mark X
 
km ni Bibie chukua Noah
  • itaibeba familia yako na mumeo mpaka wakwe
  • utafanyia shughuli nyingi na za kubeba vifurushi hadi Fruji
  • haina kificho (Tinted) hata wa pembeni watawaona
Hasara ya Verossa (ambayo ni GX110)

  • ni ya kichoyo sanasana ni wewe na mumeo na huenda mumeo akaichepukia kwani imekaa kistarehe na kilevi zadi
  • huwezi ifanya TAXI hasa ulaji wake wa mafuta kwani ni cc 1980 mpaka cc2200
  • nyingi ya hizi gari zimekaa kigizagiza
Nilisikia hizi gari hazitengenezwi tena badala yake waliingia kwenye Mark X
Ukwaju asante kwa comment yako, ..nilisema pale mwanzo mtumiaji ni mwanaume.

Hapo unaposema verosa zimekaa kigiza giza umeniacha kidogo
 
Last edited by a moderator:
Ukwaju asante kwa comment yako, ..nilisema pale mwanzo mtumiaji ni mwanaume.
Hapo unaposema verosa zimekaa kigiza giza umeniacha kidogo
nyingi ni Tinted
nyingi ukikaa ndani unajificha km upo ktk nyumba ya tembe nje huonekani km Noah
ukinunua na kukaza karoho km dreva ni mwanamume (maana hujafafanua mkoje) huo ni ushauri tu mwambie mzee
 
Back
Top Bottom