Nahitaji kununua gari

Nahitaji kununua gari

Kweli huyu Munawar amenifanya nisiwe nachangia kwenye mada yeyote ya magari maana majibu yake huwa ni shupavu na kindakindaki saana.

Ila nina mpango wa kununua kagari hivi punde.

Nashauri tu Munawar jaribu kuwa friendly, kind, humble, informative, approachable and supportive na pia punguza jazba, serious buyer tuko wengi saana ila unatufanya tuamini kwamba haiwezekani kumiliki kagari hata kwa mil 5.5 kwa majibu yako na jazba.

Nitafurahi kama utanijibu kistaarabu ndugu.

PAMOJA NA KUMPAMBA KOTE HUKO,
ILA NGOJA AVUTE BHANGI ZAKE AJE KUROPOKa!
 
Last edited by a moderator:
Kweli huyu Munawar amenifanya nisiwe nachangia kwenye mada yeyote ya magari maana majibu yake huwa ni shupavu na kindakindaki saana.

Ila nina mpango wa kununua kagari hivi punde.

Nashauri tu Munawar jaribu kuwa friendly, kind, humble, informative, approachable and supportive na pia punguza jazba, serious buyer tuko wengi saana ila unatufanya tuamini kwamba haiwezekani kumiliki kagari hata kwa mil 5.5 kwa majibu yako na jazba.

Nitafurahi kama utanijibu kistaarabu ndugu.

Wewe haupo serious kabisa !!!! Hivi Upo dunia hii au in some fantasy ??? 5.5 million ni bei ya pikipiki click Honda new model !!!

Niambie gari gani ushuru wake ni chini ya 5.5 million ??? 5.5 million utapata gari namba A labda !!!!

And about my attitude , you don't know me much so I can't blame ya !!! I don't like too much stories and I can't waste my time with people who are just time passers !!! My prices are negotiable to some degree , but if someone sees that my prices are high and other show rooms are selling at a lower price , one is free to go !!! My language is simple and international and customers adore me for that !!! I like to be candid so if i see you are just joking around in my thread I become strict tell ya on your face !!! I don't like to gossip !!!

Some people are just jealous because they don't own any car !!! There were rumours that I tricked some people but when I told the same people that we go to police station , they didn't show up !!! Why ???? its because of jealousy that they wanted to tarnish my name !!! I believe in Allah so no power can bring me down unless He wills so !! Have a nice day
 
Last edited by a moderator:
When I told people that phantom 5 has not been distributed my agent of Tanzania , they thought I was exaggerating !!! Recently someone by user name "sasa phone " kept an advert saying he has phantom 5 !!! Sasa ni wangapi washafika dukani kwake !!! Na hizo simu kweli anazo dukani ??? Na kama zipo , anazo ngapi ???

Phantom 5 sold in Kariakoo is from Kenya and not from agent of Tanzania, meaning IMEI code is different !!! I am a wholesaler so I know all the stock that is available in agent's godown !!!

I like to be candid , so if that is disliked by people then I can't help them because its my nature !!! I don't lie to gain profit !!! I speak the facts , so its upto the people how they comprehend !!!
 
Samahani kwa kudandia uzi wa mwenzangu, hivi toyota Allion nawezapata kwa sh ngapi hivi jamani?
Milioni tisa ila ukitaka first user kwa Bongo sio chini ya mwekundu.

Niko na Suzuki Carry namba DDQ nauza aiseee
 
Huyo seneta ni muuza kanda mbili, magari hawezi kujua
 

Attachments

  • 1444855375458.jpg
    1444855375458.jpg
    37.3 KB · Views: 143
Alafu ni nadra sana kusikia mtu anauza yebo yebo used !!! Kawaida watu wakizichoka yebo yebo zao huwa wanagawa tu !!!

Huyo seneta ni teja ??? Wanaoshtua ndo wanauza mpaka chupa za Maji
 
Seneta, hivi zile chupa za Maji zikifika kilo moja mnauza bei gani ??????

Kwa siku huwa mnauza kilo ngapi ???
 
Kujua kwingi na kwenyewe tabu, nishakupa Munawar tayari!! Lol
Kauliza showroom yoyote IST ya kuanzia 2010 ulete majibu. Au tushazowea za miaka kumi kurudi nyuma?!!!
Rene Jr. Ulichosema ni kweli kabisa! IST new model kuanzia mwaka 2008 hazikamatiki. Nliulizia bei ya kwenye yard nikaambiwa ni kuanzia 20m! Wengi tumezoea kununua yale unayoweka na uchakavu juu! Fact ni kuwa ushuru mkubwa unaotozwa na serikali umesababisha bei za magari kwenda juu.., sasa kwa mtu anayefanya biashara akiweka faida kidogo ndio hivyo wengi wetu tunaona twalanguliwa!!
 
Last edited by a moderator:
Rene Jr. Ulichosema ni kweli kabisa! IST new model kuanzia mwaka 2008 hazikamatiki. Nliulizia bei ya kwenye yard nikaambiwa ni kuanzia 20m! Wengi tumezoea kununua yale unayoweka na uchakavu juu! Fact ni kuwa ushuru mkubwa unaotozwa na serikali umesababisha bei za magari kwenda juu.., sasa kwa mtu anayefanya biashara akiweka faida kidogo ndio hivyo wengi wetu tunaona twalanguliwa!!


Inaonyesha unatembea showroom na bei unazijua vizuri !!!! Safi sana !!!

Saju , seneta , shark , kioo , aspirin , interior designer etc etc hao wote hawamiliki na hawajua hata bei za magari !!!!
 
Last edited by a moderator:
I.s.t nzuri cheki na hao jamaa Makoba Cars Seller and Real estate Agency 0785118383
 
Post na michango tofauti! Cant you use your senses?

Mtoa post pole sana, kwa hiyo pesa kupata c rahisi ingia Kupatana
 
Back
Top Bottom