Nahitaji kununua "enga za nguo"

Nahitaji kununua "enga za nguo"

ni ngumu

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2016
Posts
4,292
Reaction score
7,210
Wadau nataka kuanzisha duka la nguo za mtumba nimepata chimbo moja matata sana,nahitaji kujua wapi naweza kupata "enga" sijui kama ni kiswahili fasaha.Nahitaji kama 700-1000 hivi,nipeni chimbo la enga za bei rahisi zile za wire.Nitashukuru sana...
 
Back
Top Bottom