ramso mahiki
Member
- Jul 11, 2013
- 16
- 2
Asalaam aleykum
Bwana yesu asifiwe
Mtu kama unafanya application kupitia nacte kujiunga na degree nilazima uscan transcript au unaweka number yako ya usajil chuo na mtihan basi bila kuscan transcript maana kuna watu wanadai kua ni number tu bas
Bwana yesu asifiwe
Mtu kama unafanya application kupitia nacte kujiunga na degree nilazima uscan transcript au unaweka number yako ya usajil chuo na mtihan basi bila kuscan transcript maana kuna watu wanadai kua ni number tu bas