kethika JF-Expert Member Joined Oct 16, 2015 Posts 630 Reaction score 472 May 26, 2017 #1 Nipo Dodoma. Naomba kuelekezwa salon nzuri ya kiume. Wanaonyoa vizuri na wanaotumia vifaa vya usafi. Haijalishi wananyoa tsh ngapi.
Nipo Dodoma. Naomba kuelekezwa salon nzuri ya kiume. Wanaonyoa vizuri na wanaotumia vifaa vya usafi. Haijalishi wananyoa tsh ngapi.
Imany John JF-Expert Member Joined Jul 30, 2011 Posts 2,937 Reaction score 1,193 May 26, 2017 #2 Usafi upi boss? Unataka kusema umeshapitia baadhi ukakuta chafu?Mtumie text Pm Majaliwa atakuelekeza.
Usafi upi boss? Unataka kusema umeshapitia baadhi ukakuta chafu?Mtumie text Pm Majaliwa atakuelekeza.
relis JF-Expert Member Joined May 24, 2015 Posts 3,429 Reaction score 5,470 May 26, 2017 #3 Mkuu nenda majengo jirani na mshikamano stand(zamani) kuna dogo anaitwa Sheby balaa huyo mpaka kiduku kama kile cha davala anakutoa
Mkuu nenda majengo jirani na mshikamano stand(zamani) kuna dogo anaitwa Sheby balaa huyo mpaka kiduku kama kile cha davala anakutoa