kethika JF-Expert Member Oct 16, 2015 630 472 May 26, 2017 #1 Nipo Dodoma. Naomba kuelekezwa salon nzuri ya kiume. Wanaonyoa vizuri na wanaotumia vifaa vya usafi. Haijalishi wananyoa tsh ngapi.
Nipo Dodoma. Naomba kuelekezwa salon nzuri ya kiume. Wanaonyoa vizuri na wanaotumia vifaa vya usafi. Haijalishi wananyoa tsh ngapi.
Imany John JF-Expert Member Jul 30, 2011 2,933 1,171 May 26, 2017 #2 Usafi upi boss? Unataka kusema umeshapitia baadhi ukakuta chafu?Mtumie text Pm Majaliwa atakuelekeza.
Usafi upi boss? Unataka kusema umeshapitia baadhi ukakuta chafu?Mtumie text Pm Majaliwa atakuelekeza.
relis JF-Expert Member May 24, 2015 3,332 5,212 May 26, 2017 #3 Mkuu nenda majengo jirani na mshikamano stand(zamani) kuna dogo anaitwa Sheby balaa huyo mpaka kiduku kama kile cha davala anakutoa
Mkuu nenda majengo jirani na mshikamano stand(zamani) kuna dogo anaitwa Sheby balaa huyo mpaka kiduku kama kile cha davala anakutoa