Ngoja nkafanye hiloAccount settings > general >deactivate
Chukua ufutio wa penseli unafuta vizuri sana wewe mnyamweziNaomba kufahamishwa namna na hatua za kufuata ili kufuta akunti ya facebook.
Natanguliza shukran zangu za dhati
Ukishafanya hivi,utatakiwa usi"log in" kwa muda wa siku 90 then ndio itakua deleted moja kwa mojasettings >Account settings > general >deactivate
Kama uko addicted na facebook ukii deactivate kawaida siku ukiimis utaenda kui activate tu..Naomba kufahamishwa namna na hatua za kufuata ili kufuta akunti ya facebook.
Natanguliza shukran zangu za dhati

Basi kausha kumbe unajuaKwanini usielekeze tu hapa mkuu?
Subiri siku 90 zipite, itapotelea mbaliHiyo ndo naitumia hadi sasa lkn bado akaunti iko hai, maana nikitaka narudi muda wowote, mie nataka kuifuta kabisa mkuu
Mkuu mbona mimi nili deactivate account yangu zaidi ya 6 month na kila niki log in naikuta? Nafanya kilichonipeleka then na deactivate tenaUkishafanya hivi,utatakiwa usi"log in" kwa muda wa siku 90 then ndio itakua deleted moja kwa moja
uki deactivate inaendelea kuwa bado hai ...kuna Uzi uko umu kuna Dada aliweka link ...jarb kuutafta ..maana mimi nilitumia ile link ikafutika moja kwa moja unapewa siku 14 then inakuwa imefutika.Mkuu mbona mimi nili deactivate account yangu zaidi ya 6 month na kila niki log in naikuta? Nafanya kilichonipeleka then na deactivate tena
Iko poa sio njoo wapi ndio waafrika tulivyo roho ya .....settings >Account settings > general >deactivate