Utamuuliza nani wanajamii forum wakati post inatoka kwa public na humjui nani katoa Jerhy &Bavaria
ni elfu 20 hadi 25 mkuu, semina kwa siku ni tsh elfu 30 ingawa baadhi ya mikoa wanalipa elfu 20 ingawa imeandikwa elf 30 kwenye mwongozo wa malipo
Jamani MWENYE habari kamili juu ya malipo ta hawa watu watumwagie humu tafadhali juu ya ulipaji na seminar zao all
Nice kijana jerhy..... Umenipa mwanga kwani nimeanza kuwa na kiutambuzi kidogo juu ya malipo yao maana kama ni 50 per day imekaa vizuri kweli aisee Jerhy
BVR kit operators na waandikishaji wasaidizi wote wanalipwa 20,000 kwa siku na wanafanya semina siku mbili na malipo ya semina ni ths 20,000 per day!!!
Uko sahihi kabisa mkuu, huku nilipo ndivyo walivyolipwa