Nahitaji kufahamu bei ya Mahindi mkoa wa DSM

Nahitaji kufahamu bei ya Mahindi mkoa wa DSM

Kaka acha kabisa. Kichwa kinauma hapa. Gunia ziko ndani na mpk sasa dalili sio nzuri!
Njoo tusage ndugu tuuze km unga itasaidia kwa kiasi. Nina mashine na store pia nicheki.
 
Wadau swali langu la msingi bado halijajibiwa......naomba tujuzane bei ya dar kwa kilo/debe/gunia ni sh.ngapi?
 
Back
Top Bottom