Nimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana.
Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana
Nimekuja kwenu, mnisaidie mambo yafuatayo:
01: Ni aina gani ya pombe inafaa, hasa kwa mtu anaenza.
02: Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu, ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu.
Hivyo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivyo pombe hiyo ni lazima iwe take-away.
Lakini pia uchumi wangu sio mzuri, naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle.
Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions
Nawasilisha, umri middle 20's
Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana
Nimekuja kwenu, mnisaidie mambo yafuatayo:
01: Ni aina gani ya pombe inafaa, hasa kwa mtu anaenza.
02: Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu, ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu.
Hivyo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivyo pombe hiyo ni lazima iwe take-away.
Lakini pia uchumi wangu sio mzuri, naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle.
Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions
Nawasilisha, umri middle 20's