Nahitaji kozi ya editing (final cut and adobe premier)

Nahitaji kozi ya editing (final cut and adobe premier)

Desteo

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2011
Posts
494
Reaction score
125
Wakuu hii kozi inapatikana wapi. Nahitaji kumpatia ndugu yangu hii knowledge kwa manufaa yake. Kwa yeyote mwenye kuijua kwa uzuri tufahamishane tafadhali.
 
karibu Dar es salaam institute of technology,zipo kozi nyingi tu za editing
 
una tsh ngapi?...je mac unayo?..maana final cut inaingia kwenye mac tu...na hiyo adobe premier ni kote kote mac na window..
 
karibu Dar es salaam institute of technology,zipo kozi nyingi tu za editing
Nilienda pale wakanionyesha bango lao, halina hizo kozi. Labda unielekeze wewe, mkuu
 
una tsh ngapi?...je mac unayo?..maana final cut inaingia kwenye mac tu...na hiyo adobe premier ni kote kote mac na window..
kwa sasa sina mac. naweza kuanza na adobe. mambo ya bei tunaweza kuongea chemba, ndugu.
 
kwa sasa sina mac. naweza kuanza na adobe. mambo ya bei tunaweza kuongea chemba, ndugu.
kuna jamaa flani mmoja mganda mwingine mnaijeria naweza kukutanisha nao ukipenda wao wanadeal sana na matangazo
 
kwa sasa sina mac. naweza kuanza na adobe. mambo ya bei tunaweza kuongea chemba, ndugu.
sasa kama huna mc mazoezi utafanyia wapi?...hata adobe inabidi uwe na pc yako ili uweze ufanya mazoezi madogo madogo
kuna jamaa flani mmoja mganda mwingine mnaijeria naweza kukutanisha nao ukipenda wao wanadeal sana na matangazo
hao jamaa wanafundisha au wanadeal na matangazo..?kama wana deal na matangazo wanapataje muda wakufundisha mtu ..?hivi unajua most of the advertising agency hawachukui mtu amateur..?
Niunganishe, mkuu. Hope watakuwa msaada.
unatakiwa ujue hao jamaa wanafundisha unachotaka au unataka uende kuburuzwa tu asa cheap labour without knoweldge and skillls..?..tafuta vyuo soma kisha tafuta kazi utalipwa vizuri tu ukiwa unajua...byeeeeeeeeeeee
 
sasa kama huna mc mazoezi utafanyia wapi?...hata adobe inabidi uwe na pc yako ili uweze ufanya mazoezi madogo madogo


unatakiwa ujue hao jamaa wanafundisha unachotaka au unataka uende kuburuzwa tu asa cheap labour without knoweldge and skillls..?..tafuta vyuo soma kisha tafuta kazi utalipwa vizuri tu ukiwa unajua...byeeeeeeeeeeee

makampuni kama Airtel, uwa wanawapa deal za matangazo makampuni makubwa ya kihindi ambayo wao uwa wanatafuta watu makampuni madogo ndiyo yanayopiga kazi, hawa jamaa nao ndiyo kazi zao na nafanya nao kazi. si kwamba muda wote wanatengeneza matangazo kwakuwa deal zina msimu.
 
kiukweli mkuu hapa tz hakunaga chuo kizuri cha masuala ya editing na motion graphics wengi wanajua kukata kata tu na kuunganisha clip,tafuta mac yako then naweza kukupatia tutorial ukajifunza vizuri sana ila kwa kuanza hasa adobe unaweza kwenda hapo dsj.
 
kiukweli mkuu hapa tz hakunaga chuo kizuri cha masuala ya editing na motion graphics wengi wanajua kukata kata tu na kuunganisha clip,tafuta mac yako then naweza kukupatia tutorial ukajifunza vizuri sana ila kwa kuanza hasa adobe unaweza kwenda hapo dsj.

Huo ni ushauri mzuri lakini kuna uongo ambao haujafanyiwa utafiti!Dsj sio chuo ndio maana hata diploma yake haitambuliki UDSM hauwezi ingia na diploma ya Dsj!Ni kweli hapa bongo hakuna chuo wanafundisha editing practically lakini kuna chuo cha jamaa mmoja yupo Upanga opposite na jeshini kinaitwa MEDIA ONE!Anaitwa Anael Kihunrwa!hapo nimesoma wakati nasoma degree UDSM lakini practical nikapiga pale yupo vizuri saaaana!
 
kiukweli mkuu hapa tz hakunaga chuo kizuri cha masuala ya editing na motion graphics wengi wanajua kukata kata tu na kuunganisha clip,tafuta mac yako then naweza kukupatia tutorial ukajifunza vizuri sana ila kwa kuanza hasa adobe unaweza kwenda hapo dsj.
Katika hili nitakutafuta. Zaidi sana nina pc tu
 
Kibongo bongo naweza sema graphics na video production and editing ni bora ujifunze kwa watu kuliko chuoni. Labda Kama ukiamua ukapge nje maana nimeona wengi wamesoma eti kitu flan lakini akipewa kazi anachemka
 
Karibu sana,hata pc unaweza kuanza mdogo mdogo tu,ngoja nicheki na jamaa yangu kama anazo tutorial za adobe,mimi ninazo za after effect hizi ni kwa ajili ya graphics,kama ukiwa na nia na hizi pia basi tuwasiliane.
 
Back
Top Bottom