Nahitaji Korosho jamani

Huko rufji kuna wasukuma wana lima balaa... juzi nilpo kuwa huko nimeshuhudia gunia la kg 100 la viazi vitamu wanauza kwa sh. 30,000/- hadi 40,000/- na watu wanaenda kununua huko na kusafirisha kuja mjini kuuza....
Dah....ila hii mijamaa inaonekana kupiga kazi kama ndiyo jadi yao
 
Mmmh... ebu kila mtu aweze kuamini kile anacho amini... ataweza fikia lengo... maana sipo kumuaminisha mtu... wala niaje... hii ni biashara huria kila mtu ana set price yake... hata kama kutakuwa na bei elekezi... na kuna sababu tofauti tofauti...

Sina cha zaidi cha kuongeza wala kujadili... Amani iwe kwenu J2 hii...! hahahahahahaha nimefurahi sana leo kwa huu uzi...
 
Dah....ila hii mijamaa inaonekana kupiga kazi kama ndiyo jadi yao
yeah wameingia huko mwaka 2006 hivi... wakachukua maeneo makubwa tu wakaweka makazi na kuanza shughuli zao za kibinadamu....

sasahivi kuna makampuni mengi nayo yameenda kuwekeza huko kwa shughuli za kilimo kwa wahindi kushirikiana na John dee, wachina wana karibia kuja mwezi wa kumi na mbili au mwakani... na mashirika mbali mbali yana hekari huko... za kutosha piaa kuna wazungu wamechukua maekari wanalima huko na kuvutio kikubwa ni upatikanaji wa maji na eneo kubwa na kuwa karibu na Dar kwakuwa mkuranga wenyewe hawatoi maeneo kwa shughuli za kilimo kwa sasa labda viwanda...
 
Pori tupu la heka moja huko Vijijini linauzwa kuanzia mil 1 mpk laki sita, shamba la korosho una kodi heka kwa sh 250000 mpk laki tatu sembuse lenye mikorosho liuzwe 30000. Nipe no ya simu ya Hao wanaouza shamba la mikorosho Eka 30000 nikanunue.
!
 
Nimekwambia korosho Zilizobanguliwa kilo Vijijini ni 17000 mpk 18000 korosho ambazo hazijabunguliwa ukinunua kwa mkulima ni 2500 mpk 3000 kwa kilo, kwenye maghala ya ushirika korosho inanunuliwa kuanzia 3500 mpk 4000 au inategemea bei elekezi Kutoka juu
!
 
Na hii ni bei ya Vijijini kwa Zilizobanguliwa. Zikifika Dar kilo 25000 mpk 30000 .
hii ndio post yako ya kwanza kabisa kama sija kosea kama bei ni uliyo itaja hapa

Nimekwambia korosho Zilizobanguliwa kilo Vijijini ni 17000 mpk 18000 korosho ambazo hazijabunguliwa ukinunua kwa mkulima ni 2500 mpk 3000 kwa kilo, kwenye maghala ya ushirika korosho inanunuliwa kuanzia 3500 mpk 4000 au inategemea bei elekezi Kutoka juu

ni 2500 mpka 3000... ni sawa na uliyo andika hapa 25000 hadi 30000 nina wasi wasi....
 
MKUU NIPM, NITAKUELEKEZA NINA MDOGO WANGU NDO SHUGHULI ZAKE HZO

ILA KG 1 NI 25,000 HAKUNA PUNGUZO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom