Qulfayaqul
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 480
- 225
Kwa wale wakazi wa nzega ninahitaji kiwanja maeneo hayo. Mimi niko dar es salaam ila mwenyeji wa tabora. Bajeti yangu ni kati millioni moja mpaka millioni mbili.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us