Nahitaji kiwanja wakuu

Nahitaji kiwanja wakuu

Nokla

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
3,190
Reaction score
1,780
Jamani nahitaji kiwanja maeneo ya bunju A, au B na maeneo ya jirani atleast sqm 600 na kuendelea au 20*25 mwenye nacho anicheki kwa PM au 0656299246,
hii ni serious na ni urgent wakuu
 
Cha-simba utapapendelea nina eneo kule kama vp ni PM
 
vipi kimara mwisho-matosa nina eneo kubwa.0686581661
 
miguu 40 kwa 22 Goba tu hapo njoo na cha kumi nikuachie. Kiwanja kipo mtaa mzuri ulioanza kujengwa. Kwa kifupi kipo poa.
 
Jamani nahitaji kiwanja maeneo ya bunju A, au B na maeneo ya jirani atleast sqm 600 na kuendelea au 20*25 mwenye nacho anicheki kwa PM au 0656299246,
hii ni serious na ni urgent wakuu

mkuu kipo kimoja cha.1500sqm surved
area bunju A..
if ua interested karibu..
 
wAKUU kuna watu humu JF wanapenda sana sifa mtu anaweka bandiko au ana reply then ukimtafuata ana kaa kimya, unajifanya unacho kiwanja kumbe ni dalali tu yaani kuna watu wanaboa sana......
 
wAKUU kuna watu humu JF wanapenda sana sifa mtu anaweka bandiko au ana reply then ukimtafuata ana kaa kimya, unajifanya unacho kiwanja kumbe ni dalali tu yaani kuna watu wanaboa sana......

Pole sana,Ndivyo tulivyo kwa asilimia kubwa utekelezaji unakuwa sifuri
 
Vipo kigamboni vimepimwa .vinauzwa kwa sqm moja 7000Tsh.na vinaukumbwa wa kuanzia sqm 1000 na kuendelea .vingine vipo .tunaweza kuwasiliana 0713 95 92 90
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom