masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,798
- 16,811
Kiko wapi chako mkuu?
kiko maji matitu kama unaenda chamazi mbagala
Kiko wapi chako mkuu?
kiko maji matitu kama unaenda chamazi mbagala
Why TZ viwanja juu namna hiyo kha?
Ninavyo kigamboni
Mbutu 800 - 1600sqm bei ni 12,000 per sqm.
Mwasonga 400 - 2000sqm bei 6000/- per sqm
Vyote vina offer ukilipia inatoka hati kwa jina lako
Kama unaharaka ya kujenga ili uwahi kuhamia basi chukua mbutu maana kumeisha anza kujengwa na barabara zipo na pia hata dala dala zipo
pale kwenye magorofa unakwenda kushoto kama nusu kilomita. Na hata akbaru kachukua viwili vya 5000sqm kule mwasonga pia
Nchi gani bei ya ardhi iliopimwa ni rahisi zaidi tuhamie hukoVery Expensive watu wanaropoka tu bei..
Bado sijapata wakuu