Ninavyo kigamboni
Mbutu 800 - 1600sqm bei ni 12,000 per sqm.
Mwasonga 400 - 2000sqm bei 6000/- per sqm
Vyote vina offer ukilipia inatoka hati kwa jina lako
Mwasonga bado sana na panafaa mtu asiye na haraka ya kujenga ili ahamie hivi karibuni unless kama ana interest na kuanza kupatumia kwa kilimo au ufugaji au pia anapenda kuishi nje ya mji
Ninavyo kigamboni
Mbutu 800 - 1600sqm bei ni 12,000 per sqm.
Mwasonga 400 - 2000sqm bei 6000/- per sqm
Vyote vina offer ukilipia inatoka hati kwa jina lako
40 x 20 m kama unataka nikupe.
Bei 20m hakijapimwa na hamna hati. Goba.
Ukihitaji niPM
Hamna dalali mwenye mali mwenyewe na wala hamna punguzo la bei wala hati pungufu.
Viwanja vyako vya mbutu vipo maeneo ya maghorofa ya Akbaru?
Kiwanja kinapatikana msongola ekari moja millioni 10/8 karibu na wahi mapema kwqni zimebaki ekari 4 tu barabarani....
Piga simu +255 657 740 797
atakayependa salasala mwisho wa lami,dada yangu anauza nusu heka kwa 16m,lakini hakijapimwa na hakina hati if interestd nikupeleke.0717567879