Wakuu nahitaji kiwanja au shamba bagamoyo! Mwenye nacho tuwasiliane dau ni 800-1.5m kulingana na location na ukubwa!
Wakuu nahitaji kiwanja au shamba bagamoyo! Mwenye nacho tuwasiliane dau ni 800-1.5m kulingana na location na ukubwa!
Nauza Shamba kiwanja Ni Heka Moja. kipo nyuma ya shule ya msingi Kilomo kilometer 3. kutoka kilomo Shule ya msingi. Bei yake ni Mil.4.5 (inaongeleka). Kama utahitaji Eneo zaidi Utaongeza hapo hapo ,coz Shamba ni kubwa
kama una kiitaji Ni pm
Nina kiwanja kimepimwA kina offer kina sq 700 bagamoyo ukuni (ugeni) karibu na barabara na Nina kiwanja kipo mkabala na ilipokuwa kilomo hotel kwasasa ni chuo ...ni pm kwa mawasiliano na maelezo zaidi
Mm nauza kiwanja Bagamoyo Zinga kwa Awadh, kipo karibu na barabara, nipm kwa maongezi zaidi
Weka namba kiongozi tuongee