nitumie sms 0683011003. nakutafutia kibanda na utakipata within a day.Wakuu nahitaji kibanda cha Mpesa kiwe cha chuma au mbao kisizidi LAKI 2.
NIPO DARESALAAM.
Ndio mkuu30K ya udalali au???
Hebu nitumie na mm, tuangalie kama tunaweza kufanya biasharaRickboy chek dm yako nimekutumia picha za kibanda
230,000Hebu nitumie na mm, tuangalie kama tunaweza kufanya biashara
Kama atachukua 180 nambie
hapo haiwezekani mkuu. Maana mimi pia naishi humo!!Kama atachukua 180 nambie