Wandai kwematindi
Member
- Mar 3, 2018
- 5
- 0
Nataka mdau aniuzie kambale kg 15 kila siku niko mlandizi.
0718593224
0718593224
Niweke ofa wakati ww ndo mwenye mali yani nikupangie beiWeka offer yako kwa kilo na aina unayotaka wabichi ama wakavu
Weka offer yako kwa kilo na aina unayotaka wabichi ama wakavu
Yupo sahihi....Kwani huonagi wachezaji wanavyonunuliwa mkuu..wewe ndo uweke ofaNiweke ofa wakati ww ndo mwenye mali yani nikupangie bei

Kweli kawaida Offer anaweka mwenye maliYupo sahihi....Kwani huonagi wachezaji wanavyonunuliwa mkuu..wewe ndo uweke ofa![]()
Niweke ofa wakati ww ndo mwenye mali yani nikupangie bei
ulishawahi kwenda dukani.Ndugu yangu una shida ya bidhaa halafu unaleta jeuri. Ongea kwa ustaarabu wewe ndio mwenye shida ya kambale hivyo kuwa mpole
Ungeweka Uzi unatafuta ,ningekuletea mpaka mlangoniNilitafuta kambale nikachoka,nimekuja wapata kwa mzee mmoja anauza kg 6000
Yuko Rombo Kimara
Ila ana mapozi sana..
Mbona nilishaweka!Ungeweka Uzi unatafuta ,ningekuletea mpaka mlangoni
Sikuona aisee,tungefanya biasharaMbona nilishaweka!
Acheni hizo,Mwenye mali haweki offer,, anaweka bei,, mtafutaji ndo anaweka offer,,
Nitahitaji sato baadae kidogo,Sikuona aisee,tungefanya biashara