Nahitaji iphone six plus au 7

Joined
Sep 30, 2015
Posts
73
Reaction score
20
Yeyote mwenye iphone six plus au 7 ambayo haijatumika zaidi ya miezi 6 tuwasiliane. Natoa dau zuri.Bei isizidi 500k kwa iphone 6 na 700k kwa 7
 
Hata kama vyuma vimekaza huyo mwenye iphone 6+, 7 anaeuza kwa bei hiyo labda ana njaa ya kufa, ila kwa mimi bora niiweke kwenye droo gheto tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…