P Pascalzebalozi Member Joined Sep 30, 2015 Posts 73 Reaction score 20 Dec 20, 2017 #1 Yeyote mwenye iphone six plus au 7 ambayo haijatumika zaidi ya miezi 6 tuwasiliane. Natoa dau zuri.Bei isizidi 500k kwa iphone 6 na 700k kwa 7
Yeyote mwenye iphone six plus au 7 ambayo haijatumika zaidi ya miezi 6 tuwasiliane. Natoa dau zuri.Bei isizidi 500k kwa iphone 6 na 700k kwa 7
Mla Bata JF-Expert Member Joined Jan 24, 2013 Posts 8,192 Reaction score 18,844 Dec 20, 2017 #2 Mkuu are you serious???
Mla Bata JF-Expert Member Joined Jan 24, 2013 Posts 8,192 Reaction score 18,844 Dec 20, 2017 #3 Hata kama vyuma vimekaza huyo mwenye iphone 6+, 7 anaeuza kwa bei hiyo labda ana njaa ya kufa, ila kwa mimi bora niiweke kwenye droo gheto tu.
Hata kama vyuma vimekaza huyo mwenye iphone 6+, 7 anaeuza kwa bei hiyo labda ana njaa ya kufa, ila kwa mimi bora niiweke kwenye droo gheto tu.
Snowpiercer JF-Expert Member Joined Sep 15, 2014 Posts 2,384 Reaction score 4,357 Jan 2, 2018 #4 Mla Bata said: Hata kama vyuma vimekaza huyo mwenye iphone 6+, 7 anaeuza kwa bei hiyo labda ana njaa ya kufa, ila kwa mimi bora niiweke kwenye droo gheto tu. Click to expand... Huyu anahitaji copy sio OG
Mla Bata said: Hata kama vyuma vimekaza huyo mwenye iphone 6+, 7 anaeuza kwa bei hiyo labda ana njaa ya kufa, ila kwa mimi bora niiweke kwenye droo gheto tu. Click to expand... Huyu anahitaji copy sio OG