Nahitaji gari ya kukodi ya kuzolea takataka. Ni katika mitaa ninayokaa. Nataka nizoe taka na nichangishe pesa kidogo kutoka kwa wananchi wa hili eneo husika huku.
Nafanya hivyo maana naona sirikali yangu ya mtaa imeshindwa kazi hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.