Kwa hela yako itapata lakini halitakuwa nzima kama unavyotaka labda ukitaka nzima uzame zanzibar unaweza pata la kini kwa hapa bara utauziwa kimeoNahitaji gari ndogo ya sh 2m. Tafadhal msaada wenu
Sidhani una ufahamu kiasi gani kuhusu magari, lakini gari ya bei hiyo makinika sana ukiipataNahitaji gari ndogo ya sh 2m. Tafadhal msaada wenu
Sidhani una ufahamu kiasi gani kuhusu magari, lakini gari ya bei hiyo makinika sana ukiipata
Zenji utapata japo nayo mmh...lakini mpaka utakapoifikisha hapa si chini ya M5 in totalSawa....ngoja nizame zenji kwanza. Ikifail bas itabd nisubr
Mwambie kuitoa hapo Zenji kuileta bara ajiandae kwa mziki wa wazee wa ushuru pia.Kwa hela yako itapata lakini halitakuwa nzima kama unavyotaka labda ukitaka nzima uzame zanzibar unaweza pata la kini kwa hapa bara utauziwa kimeo
Hebu niambie ukishainunua zenji utaifikishaje bara? Kumbuka kuna kulipa kodi piaDah! Yan hapo nazd changanyikiwa sasa
Hilo nalo ndio linalochangi maana unaweza pata kwa 2milion alafu ushuru ukajalipita 5milionMwambie kuitoa hapo Zenji kuileta bara ajiandae kwa mziki wa wazee wa ushuru pia.

