Nahitaji gari kwa ajili ya biashara ya taxi mtandao (7-8 Milion budget)

Nahitaji gari kwa ajili ya biashara ya taxi mtandao (7-8 Milion budget)

Mazima1

Senior Member
Joined
Dec 31, 2020
Posts
125
Reaction score
306
Habari wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nahitaji gari kwa ajili ya kufanyia biashara ya Taxi mtandao(Uber,bolt etc.)

Bajeti yangu ni 7Milion to 8Milion

Gari ipi inafaa?
 
Tuma kwa M-PESA hiyo hela pamoja na nyaraka muhimu kama nida n.k, kunagari ipo njiani kutoka Japani bei ni 12m, ila kwa kuwa wewe ni mwana JF mwenzangu nitakufanyia hiyohiyo 8m.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom