kaseva
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 473
- 301
Iwe gari kati ya Rav 4 new model old au Haria new model au tupia gari lolote ambalo unataka kusukuma upate hela ya fasta
Liwe namba D njoo PM
NB: Madalali please msiniwekee maneno yenu ya zeengwe maana ninyi ndo mwajua sana kupandisha Bei za magari Mara mbili,
hapa nimewaandikia wenye magari yao, wanaotaka kuuza bila kupitia kwa kwenu.
Shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Liwe namba D njoo PM
NB: Madalali please msiniwekee maneno yenu ya zeengwe maana ninyi ndo mwajua sana kupandisha Bei za magari Mara mbili,
hapa nimewaandikia wenye magari yao, wanaotaka kuuza bila kupitia kwa kwenu.
Shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app