Nahitaji gari, IST

Nahitaji gari, IST

Marealle

Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
18
Reaction score
15
Habari za usiku huu.

Samahani waungwana, nahitaji ist no d iwe haijarudiwa rangi, iwe kwenye hali nzuri kabisa na isiwe na shida yoyote. Offer yangu ni 8.5m napatikana dar.
 
Mkuu kuna Mjuaji atakuja na kuandika Una haribu pesa Gari, Friji, Simu Janja siyo vitu vya kutumia vina maliza pesa...
 
Habari za usiku huu.

Samahani waungwana, nahitaji ist no d iwe haijarudiwa rangi, iwe kwenye hali nzuri kabisa na isiwe na shida yoyote. Offer yangu ni 8.5m napatikana dar.
Unapatikana wapi mkuu
 
Habari za usiku huu.

Samahani waungwana, nahitaji ist no d iwe haijarudiwa rangi, iwe kwenye hali nzuri kabisa na isiwe na shida yoyote. Offer yangu ni 8.5m napatikana dar.
Gari ipo
 
Kurudiwa rangi kuna uhusiano gani na gari mbaya? Nauliza tu kujifunza.
 
Kurudiwa rangi kuna uhusiano gani na gari mbaya? Nauliza tu kujifunza.
Kuna uzoefu kwamba gari lililorudiwa rangi lina historia ya kupata ajali likanyooshwa "bodi" hivyo halifai.

Kuna uzoefu pia kuwa muuzaji anayerudia rangi ili avutie wateja basi atalipeleka garage za uswahilini zinapaka rangi bei chee isiyo na kiwango hivyo kidogo tu linafubaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom