publito
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 611
- 722
Kwema ndugu...mm nahitaji graphic card ya geforce gtx 750 ti au ya chinj yake naweza pata wapi na bei gani ? Mtumba/usedKwa ushauri uza hiyo pc yako upate hata hela ya gpu kwanza.
Kwema ndugu...mm nahitaji graphic card ya geforce gtx 750 ti au ya chinj yake naweza pata wapi na bei gani ? Mtumba/usedKwa ushauri uza hiyo pc yako upate hata hela ya gpu kwanza.
Shukrani.....hii laki mbili ni kwa mtu ?
unaota wewe, utoe bajaji upewe kosta kweli ?
ila kupata gaming pc ni vizuri ufanye modding(tuning)
una assemble ya kwako
unanunua RAM kivyake, motherboard kivyake, processor kivyake, video card, SSD, housing
then unaunga kwa pamoja
Shukrani.....hii laki mbili ni kwa mtu ?
Hivi kumbe yawezekana,
Mfano Mimi nataka mashine yenye uwezo wa Ku run Adobe after-effects natakiwa ni assemble ya aje?
Inategemea na unachotaka kufanya ila kikawaida huwa machine ya kueditia video ama 3d rendering na effects mbalimbali zinakuwa na sifa hizi.Hivi kumbe yawezekana,
Mfano Mimi nataka mashine yenye uwezo wa Ku run Adobe after-effects natakiwa ni assemble ya aje?
Inategemea na unachotaka kufanya ila kikawaida huwa machine ya kueditia video ama 3d rendering na effects mbalimbali zinakuwa na sifa hizi.
1. Processor zake zinakuwa na core nyingi kadri inavyowezekana.
2. Ram ya kutosha 16GB minimum na recomended ni 32GB
3. Gpu ni muhimu kiasi utahitaji monitor yenye resolution kubwa pia 1080p kupanda.
ukitaka best kabisa kurun After effects jiandae milioni 4 kupanda.
Kibongo bongo kwa kubana budget unaweza ukanunua used 2nd gen i7 mpaka 4th gen hizi unazipata around laki 4 mpaka 6, kisha ukanunua gpu separate na kupachika.
Kama hata hio hauna unaweza tumia hata computer ya bei rahisi na kurun version za zamani. Mfano ukatumia After effects cs3 kwenye laptop ya 150k na ukafanya kazi vizuri tu.
Hata mm ningeagiza lkn mambo AliExpress siyajui kama unaalew nielekeze