Nahitaji fundi wa kuezeka Bunju

Habarini wakuu, mukihitaji ramani nzuri msisite kututafuta kwa 0715477041, pia mwaweza tembelea link hii kujionea baadhi ya kazi zetu

 
Zinakutosha hizo pics
IMG-20220119-WA0024.jpg
IMG-20220119-WA0018.jpg
IMG-20220119-WA0020.jpg
IMG-20220119-WA0019.jpg


Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Wasiliana nasi UVIMO CIVIL GROUP

Tutakufanyia kazi nadhifu sana,

Pia tutakuonyesha kazi zetu za video, na zingine tumefanya hapohapo bunju maeneo ya mingoi.

0629361896 -Kupiga
0753927572 -WhatsApp

Kazi inachukua siku chache, kambi inawekwa site hata kama mvua inanyesha Uvimo tutaondoka site baada ya kazi.

View attachment 2086082View attachment 2086084View attachment 2086083View attachment 2086085
Maboma tayari,mapaa kama haya hapa chini mnaweza ezeka? Nionyeshe ushahidi kwa picha

West Elevation-1.png


MADIRISHA No.20.png


MADIRISHA No.21.png


West Elevation.png


South Elevation.png


ASUKILE KALINGA FINAL NO.24.png
 
Kuna fundi mmoja aliniezekea jengo langu, kitu kizuri kimesimama; kama utahitaji No. nitakupatia, anatokea Morogoro. popote pale anafika kwa makubaliano. Jitahidi kofia na zile valley wakutengenezee kiwandani

Huyu fundi Ima na mimi nimepanga aje kunipaulia mjengo wangu namuelewa sana
 
Tunauza mbao kwa bei za jumla
2*4 fut 12=4400
2*4treated fut 12=4800
1*6 fut 12 = 4400
1*8 fut 12= 8500
1*8 ya fisherboard=9500
1*10=13500
1*10 ya fisherboard= 15000
2*2treated fut 12=2500
2*2 fut 12=2300
2*4treated fut 18=9500
2*6 fut 12=8500
2*6treated fut 18=16000
2*2treated fut 18=5000
2*3 fut 12=3500
1*4 fut 18=4000
1*4 fut 12=2500
Tunafanya delivery popote ulipo kwa Dar-es-salaam ,tunapatikana kwa namba hizi hapa 0759630751,
0654830416,
0687371138
vile vile huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu ..
Ofisi zetu ziko Mbuyuni -Bagamoyo road
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom