Nahitaji fridge ndogo kwa 200,000/=

Nahitaji fridge ndogo kwa 200,000/=

Golden_boy

Member
Joined
Nov 15, 2016
Posts
10
Reaction score
2
Ninahitaji Fridge, ndogo ya milango miwili kwa ajili ya matumizi binafsi ya nyumbani kama kuhifazia chakula na vinywaji pesa niliyonayo ni 200,000/=

Naomba mwenye kujua bei halisi anijuze..
 
Unahitaji mpya au used sema ili tujue cha kufanya
 
nahitaji fridge ndogo ya milango miwili kwa ajili ya matumizi binafsi ya nyumbani kama kuhifazia chakula na vinywaji pesa niliyo nayo ni 200,000/= naomba mwenye kujua bei halisi anijuze
Ntafute 0717616188
 
Fanya 300,000/=.nikupe hii mm nahamia mwanza kikazi.. Iko kwenye hali nzuri Kabisa inapooza kwa kasi ya hali ya juu ..
c36be8b4acb414e37613273b33b296c7.jpg
 
Ninahitaji Fridge, ndogo ya milango miwili kwa ajili ya matumizi binafsi ya nyumbani kama kuhifazia chakula na vinywaji pesa niliyonayo ni 200,000/=

Naomba mwenye kujua bei halisi anijuze..
Ipo used nzima kabisa, nicheki 0787864381 tufanye Biashara
 
Back
Top Bottom